![Βουτιές στα πιο δημοφιλή νησιά των Κυκλάδων](https://i1.prth.gr/images/360x203/files/2024-07-03/mykonos1hd.jpg)
Με τα απογευματινά δρομολόγια της SEAJETS για Σύρο, Πάρο, Μύκονο και Νάξο, βρισκόμαστε στα αγαπημένα μας νησιά αμέσως μετά το γραφείο και απολαμβάνουμε ακόμη περισσότερο το καλοκαίρι.
Watu 13 wamefariki dunia na wengine 6 kujeruhiwa vibaya katika ajali ya barabarani iliyohusisha basi dogo la abiria lililogongana ana kwa ana na lori la mafuta katika eneo la Somanga wilayani Kilwa, mkoani Lindi, Tanzania.#KBCRadioTaifa ^FN pic.twitter.com/oS3xcADfdi
— KBC Radio Taifa (@RadioTaifaFM) April 22, 2024
#TANZANIA: WATU 13 WAFARIKI DUNIA KWENYE AJALI MKOANI LINDI
— MwanzoTvPlus (@MwanzoTvPlus) April 22, 2024
Watu 13 wamefariki dunia na wengine wamejeruhiwa kufuatia ajali ya basi dogo la abiria aina ya Coaster iliyokuwa ikitokea Somanga kuelekea Kilwa Kivinje kugongana uso kwa uso na roli la mafuta. Kamanda wa Jeshi la Polisi… pic.twitter.com/Lu8oHFxh2U